NGODAZ

moto moto news

Ester Bulaya Apeta Tena Mahakamani....Pingamizi La Stephen Wassira Latupiliwa Mbali

Mahakamaa Kuu Kanda ya Mwanza, imetupilia mbali maombi ya baadhi ya wapigakura wa Jimbo la Bunda Mjini ya kuruhusiwa kukata rufaa kuping...
Read More

Makahaba 287 Pamoja na Wateja Wao Watiwa Mbaroni Jijini Dar es Salaam

Jeshi la polisi kanda maalum ya Dar es salaam limefanikiwa kuwakamata jumla ya watu 287 ambao ni dada poa pamoja na kaka poa katika o...
Read More

Vigogo wa Kampuni Hodhi ya Rasilimali za Reli Tanzania (Rahco) Wafikishwa Mahakamani

Mkurugenzi Mkuu wa zamani wa Kampuni Hodhi ya Rasilimali za Reli Tanzania (Rahco), Benhadard Tito na wenzake wawili wamepadishwa kizi...
Read More

Walimu Wanaotuhumiwa Kufanya Mapenzi na Wanafunzi Jijini Mwanza Waundiwa Kamati Maalum

Chama cha Walimu Tanzania (CWT) Mkoa wa Mwanza kimeunda kamati kuchunguza tuhuma dhidi ya baadhi ya walimu wa Shule ya Sekondari Mi...
Read More

Shule Ya Sekondari IYUNGA Ya Jijini Mbeya Yafungwa

Uongozi mkoani Mbeya umeifunga Shule ya Sekondari Iyunga baada ya mabweni matatu kuungua moto na wanafunzi kulala nje kutokana na kuya...
Read More

Kesi ya IPTL Dhidi ya Zitto Kabwe kusuluhishwa Machi 23 Kwa Siri

Mahakama Kuu inatarajia kusuluhisha kesi iliyofunguliwa na Kampuni ya Kufua Umeme ya Independent Power Tanzania Limited (IPTL) dhid...
Read More