NGODAZ

moto moto news

Oscar akanusha mfarakano na Costa

Costa
Kiungo wa kati wa Chelsea Oscar amekanusha habari kwamba alihusika kwenye mfarakano na mchezaji mwenzake Diego Costa wakati wa mazoezi.
Gazeti la Telegraph liliripoti kwamba ilibidi wachezaji hao wawili kutenganishwa baada yao kushikana mashati Costa alipomchezea visivyo Oscar.
Lakini Oscar, mwenye umri wa miaka 24, ameandika kwenye Twitter kwamba hawezi akapigana na mchezaji mwenzake, na kumweleza mshambuliaji huyo wa Uhispania, mwenye umri wamiaka 27, kama “mmoja wa marafiki wangu wakubwa”.
Chelsea watakutana na klabu ya ligi ya daraja la tatu Scunthorpe katika raundi ya tatu ya Kombe la FA Jumapili.
Share on Google Plus

About Unknown

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
    Blogger Comment
    Facebook Comment

0 maoni:

Chapisha Maoni